sw_tn/pro/22/26.md

298 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

wapigao mikono

ni kitendo cha kushikana mikono na kuweka agano la makubaliano. Wandishi anaonya juu ya kuweka ahadi ya kulipa deni la mtu.

katika kufanya reheni

"kukubali kulipa kitu ambacho mtu mwingine anadaiwa"