forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
298 B
Markdown
12 lines
298 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# wapigao mikono
|
||
|
|
||
|
ni kitendo cha kushikana mikono na kuweka agano la makubaliano. Wandishi anaonya juu ya kuweka ahadi ya kulipa deni la mtu.
|
||
|
|
||
|
# katika kufanya reheni
|
||
|
|
||
|
"kukubali kulipa kitu ambacho mtu mwingine anadaiwa"
|