sw_tn/pro/22/13.md

321 B

mtu mvivu husema

"hutoa visingizio ili asifanye kazi"

kinywa cha malaya ni shimo refu

"maneno yasemwayo na malaya yatakuvuta, na utakuwa kama umeangukia kwenye refu na hatari"

malaya

Angalia 5:3

hasira ya Yahwe huchochewa

"Yahwe hukasirika"

hudumbukia ndani yake

"hufanya dhambi kwa sababu ya malaya"