# mtu mvivu husema "hutoa visingizio ili asifanye kazi" # kinywa cha malaya ni shimo refu "maneno yasemwayo na malaya yatakuvuta, na utakuwa kama umeangukia kwenye refu na hatari" # malaya Angalia 5:3 # hasira ya Yahwe huchochewa "Yahwe hukasirika" # hudumbukia ndani yake "hufanya dhambi kwa sababu ya malaya"