sw_tn/pro/21/25.md

323 B

uchu wa mvivu humfisha

"mtu mvivu hutaka kukaa bila kazi, na kwa sababu hiyo atakufa" au mtu mvivu atakufa kwa sababu hataki kufanya kazi"

mkono wake hugoma

"yeye hugoma"

hutamani

"taka kitu kwa hamumno" au "kuwa na uchu sana"

hutoa na wala hazuii

"hutoa kila kitu ambacho anapaswa" au "hutoa kwa ukarimu"