sw_tn/pro/21/23.md

408 B

yeye mwenye kulinda kinywa chake na ulimi

"yeye ambaye ni mwangalifu katika maneno anayoyasema"

mtu mwenye kiburi na majivuno...hutenda mambo kwa maringo na ufahari

"watu mwenye kiburi na majivuno hutenda mambo kwa marigo na ufahari"

mwenye kiburi na majivuno

maneno haya yana maana moja kumaanisha jinsi mtu alivyo na kiburi

dhihaka ndilo jina lake

"mwenye dhihaka anapaswa kuitwa "dhihaka"