sw_tn/pro/21/21.md

334 B

huupima mji

"hupanda juu ya ukuta unaouzunguk mji"

mji wa wenye nguvu

"mji ambao mashujaa wanaishi" au "mji wa mashujaa wenye nguvu"

huuangusha

"huuharibu"

ngome ambayo huitumaini

"kuta na minara kuuzunguka mji ambavyo vilidhaniwa kwamba hakuna mtu angeweza kuvuka kuingia kwenye mji, hivyo walijiona kuwa wapo salama"