sw_tn/pro/21/13.md

295 B

azibaye masikio yake kwenye kilio cha maskini

Hii ni nahau "ambaye hatasikiliza wakati watu maskini wanapoomba msaada"

hatajibiwa

"hakuna atakayefanya jambo lolote kwa ajili ya kumsaidia"

hutuliza hasira

"kumfanya mtu mwenye hasira ajisikie vizuri na asiendelee kuwa na hasira tena"