sw_tn/pro/21/07.md

472 B

vurugu ya waovu itawasukimia mbali;

Mungu atawaadhibu watu waovu ambao huwaumiza majirani zao wasio kwa sababu ya matendo ya vurugu wanayofanya

vurugu ya waovu

"matendo ambayo waovu hutenda kwa ajili ya kuwaumiza majirani zao wasiokuwa na hatia"

huwasukumia mbali

"kuwakamata na kuwalazimasha kuonekana mbele za Mungu ili aweze kuwahukumu"

njia ya mtu mwenye hatia ni udanganyifu

"mtu mwenye hatia huishi katika njia ya udanganyifu"

danganyifu

"mbaya"