forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
472 B
Markdown
20 lines
472 B
Markdown
|
# vurugu ya waovu itawasukimia mbali;
|
||
|
|
||
|
Mungu atawaadhibu watu waovu ambao huwaumiza majirani zao wasio kwa sababu ya matendo ya vurugu wanayofanya
|
||
|
|
||
|
# vurugu ya waovu
|
||
|
|
||
|
"matendo ambayo waovu hutenda kwa ajili ya kuwaumiza majirani zao wasiokuwa na hatia"
|
||
|
|
||
|
# huwasukumia mbali
|
||
|
|
||
|
"kuwakamata na kuwalazimasha kuonekana mbele za Mungu ili aweze kuwahukumu"
|
||
|
|
||
|
# njia ya mtu mwenye hatia ni udanganyifu
|
||
|
|
||
|
"mtu mwenye hatia huishi katika njia ya udanganyifu"
|
||
|
|
||
|
# danganyifu
|
||
|
|
||
|
"mbaya"
|