sw_tn/pro/21/01.md

404 B

moyo wa mfalme ni mkondo wa maji katika mkono wa Yahwe

"yahwe hutawala moyo wa mfalme kama mtu anavyoyaongoza maji kwa ajili ya umwagiliaji"

moyo wa mfalme

"mawazo ya mfalme na matendo" au" jinsi mfalme anavyofikiri na ambacho anataka kufanya"

kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe

"kila mtu hufikiria kwamba anafanya mema"

ni nani huipima mioyo

"ni nani atayahukumu mawazo"