forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
404 B
Markdown
16 lines
404 B
Markdown
|
# moyo wa mfalme ni mkondo wa maji katika mkono wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
"yahwe hutawala moyo wa mfalme kama mtu anavyoyaongoza maji kwa ajili ya umwagiliaji"
|
||
|
|
||
|
# moyo wa mfalme
|
||
|
|
||
|
"mawazo ya mfalme na matendo" au" jinsi mfalme anavyofikiri na ambacho anataka kufanya"
|
||
|
|
||
|
# kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"kila mtu hufikiria kwamba anafanya mema"
|
||
|
|
||
|
# ni nani huipima mioyo
|
||
|
|
||
|
"ni nani atayahukumu mawazo"
|