sw_tn/pro/20/25.md

393 B

ni mtego

"ni hatari"

kusema kwa haraka

kusema jambo kwa haraka na bila kufikiri kwa umakini maana yake

kuweka nadhiri

"kuweka wakifu kwa Yahwe" au "kutamka kuwa ni takatifu"

kuwapepeta waovu

"kuwatenga waovu"

waovu

"wale ambao ni waovu" au "watu waovu"

na kuwazungushia gurudumu la kupuria juu yao

"na huwaadhibu vikali"

gurudumu la kupuria

"mkokoteni wa kupuria"