forked from WA-Catalog/sw_tn
393 B
393 B
ni mtego
"ni hatari"
kusema kwa haraka
kusema jambo kwa haraka na bila kufikiri kwa umakini maana yake
kuweka nadhiri
"kuweka wakifu kwa Yahwe" au "kutamka kuwa ni takatifu"
kuwapepeta waovu
"kuwatenga waovu"
waovu
"wale ambao ni waovu" au "watu waovu"
na kuwazungushia gurudumu la kupuria juu yao
"na huwaadhibu vikali"
gurudumu la kupuria
"mkokoteni wa kupuria"