sw_tn/pro/20/23.md

402 B

Yahwe huchukia kipimo visivyo sawa na vipimo vya udhalimu si vizuri

tungo zote mbili zinahusika na jambo moja la kuonyesha "ubaya"

hatua za mtu huogozwa na Yahwe

"Yahwe huongoza hatua za mtu"

hatua za mtu

matendo ya mtu

je kwahiyo anaweza kuifahamu njia yake?

"kwa hiyo mtu hawezi kuifahamu njia yake"

kuifahamu njia yake

"kuifahamu kwa nini mambo kadhaa hutokea katika maisha yake"