forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
346 B
Markdown
16 lines
346 B
Markdown
# hata kijana anajulikana kwa matendo yake
|
|
|
|
"watu wanamjua kijana kwa matendo yake"
|
|
|
|
# mwenendo wake
|
|
|
|
"matendo yake" au "kwa yale anayotenda"
|
|
|
|
# safi na adili
|
|
|
|
maneno haya yana maana moja, yanahimiza jinsi kijana alivyo mwema "safi"
|
|
|
|
# masikio ambayo husikia na macho ambayo huona
|
|
|
|
maana yake ni kwamba Yahwe aliumba milango yetu yote ya fahamu.
|