sw_tn/pro/20/11.md

346 B

hata kijana anajulikana kwa matendo yake

"watu wanamjua kijana kwa matendo yake"

mwenendo wake

"matendo yake" au "kwa yale anayotenda"

safi na adili

maneno haya yana maana moja, yanahimiza jinsi kijana alivyo mwema "safi"

masikio ambayo husikia na macho ambayo huona

maana yake ni kwamba Yahwe aliumba milango yetu yote ya fahamu.