sw_tn/pro/20/03.md

340 B

ni heshima

"maana yake mtu huyu ataheshimiwa"

kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano

"kila mpumbavu huingia kwenye mabishano kwa haraka" au " kila mpumbavu ni mwepesi kujiunga kwenye mabishano"

kulima

kuandaa shamba kwa ajili ya kupanda

wakati wa kupanda

majira ya kupanda

lakini hatapata kitu

"hatapata kitu cha kuvuna"