forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
ni heshima
"maana yake mtu huyu ataheshimiwa"
kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano
"kila mpumbavu huingia kwenye mabishano kwa haraka" au " kila mpumbavu ni mwepesi kujiunga kwenye mabishano"
kulima
kuandaa shamba kwa ajili ya kupanda
wakati wa kupanda
majira ya kupanda
lakini hatapata kitu
"hatapata kitu cha kuvuna"