sw_tn/pro/19/25.md

295 B

mpige mwenye dhihaka, na mtu mjinga

"ukimpiga mwenye dhihaka, mtu mjinga"

mpige

"wadhibu"

mtu mjinga

mtu asiye na uzoefu, au "mtu ambaye bado mchanga"

busara

agalia 12:23

mwadibishe mwenye ufahamu, na

"kama utamwadibisha yule mwenye ufahmu"

atapata maarifa

"atajua zaidi"