sw_tn/pro/19/23.md

613 B

Kumheshimu Yahwe huleta uzima kwa watu; kila mmoja wenye nayo atatosheka

"ambao wanamheshimu Yahwe wataishi muda mrefu; mwenye kumheshimu Yahwe atatoshelezwa"

kila mmoja mwenye

"kila anayemheshimu Yahwe"

ametosheka na hana madhara

"atatosheka; atakuwa salama"

mvivu

angalia 10:26

huzika mkono wake katika sinia

"huzamisha mkono wake kwenye sinia" au "huweka mkono wake kwenye sahani". katika utamaduni wa Biblia watu walitumia mikono kula kama watu wengine wanavyofanya hata leo

hataurudisha tena juu kwenye kinywa chake

" lakini ni mvivu kuuleta mkono kwenye kinywa ili kula mwenyewe"