forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
613 B
Markdown
24 lines
613 B
Markdown
|
# Kumheshimu Yahwe huleta uzima kwa watu; kila mmoja wenye nayo atatosheka
|
||
|
|
||
|
"ambao wanamheshimu Yahwe wataishi muda mrefu; mwenye kumheshimu Yahwe atatoshelezwa"
|
||
|
|
||
|
# kila mmoja mwenye
|
||
|
|
||
|
"kila anayemheshimu Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# ametosheka na hana madhara
|
||
|
|
||
|
"atatosheka; atakuwa salama"
|
||
|
|
||
|
# mvivu
|
||
|
|
||
|
angalia 10:26
|
||
|
|
||
|
# huzika mkono wake katika sinia
|
||
|
|
||
|
"huzamisha mkono wake kwenye sinia" au "huweka mkono wake kwenye sahani". katika utamaduni wa Biblia watu walitumia mikono kula kama watu wengine wanavyofanya hata leo
|
||
|
|
||
|
# hataurudisha tena juu kwenye kinywa chake
|
||
|
|
||
|
" lakini ni mvivu kuuleta mkono kwenye kinywa ili kula mwenyewe"
|