sw_tn/pro/19/17.md

364 B

yeye ambaye ni mkarimu kwa maskini humkopesha Yahwe

"mtu ambaye hutoa kwa maskini hutoa kwa Yahwe"

maskini

"watu fukara au watu maskini"

wakati kuna matumaini

"wakati bado ni mdogo" au "wakati bado anaweza kufundishwa"

na wala usitamani kumwua

""lakini usimwadhibu sana atakufa" au " kama hutamwadhibu utamwangamiza"

usitamani

"kusudia kumweka"