sw_tn/pro/19/13.md

431 B

ni uharibifu kwa baba yake

"atafanya uharibifu kwa baba yake"

mke mgomvi ni maji ya kutona tona daima

"mke mgomvi anakera na kufadhaisha kama maji yenye kuvuja daima"

mke mgomvi

"mke mbishi" au " mke asiye na makubaliano"

Nyumba na ukwasi ni urithi kutoka kwa wazazi

"watoto hurithi nyumba na mali kutoka kwa wazazi"

busara

angalia 12:23

mke mwenye busara anatoka kwa Yahwe

"Yahwe hutoa mke mwenye busara"