forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
431 B
Markdown
24 lines
431 B
Markdown
|
# ni uharibifu kwa baba yake
|
||
|
|
||
|
"atafanya uharibifu kwa baba yake"
|
||
|
|
||
|
# mke mgomvi ni maji ya kutona tona daima
|
||
|
|
||
|
"mke mgomvi anakera na kufadhaisha kama maji yenye kuvuja daima"
|
||
|
|
||
|
# mke mgomvi
|
||
|
|
||
|
"mke mbishi" au " mke asiye na makubaliano"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba na ukwasi ni urithi kutoka kwa wazazi
|
||
|
|
||
|
"watoto hurithi nyumba na mali kutoka kwa wazazi"
|
||
|
|
||
|
# busara
|
||
|
|
||
|
angalia 12:23
|
||
|
|
||
|
# mke mwenye busara anatoka kwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
"Yahwe hutoa mke mwenye busara"
|