forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
558 B
Markdown
24 lines
558 B
Markdown
# Busara humfanya mtu awe mpole
|
|
|
|
" mtu mwenye busara ni si mwepesi wa hasira"
|
|
|
|
# Busara
|
|
|
|
angalia 1:4
|
|
|
|
# ni utukufu wake kusamehe
|
|
|
|
"itakuwa utukufu kwake kusamehe" au "wengine dhani kuwa ni heshima kama atasamehe"
|
|
|
|
# kusamehe
|
|
|
|
kusahau jambo kwa lengo
|
|
|
|
# ghadhabu ya mfalme ni kama ngurmo ya simba kijana
|
|
|
|
" ghadhabu ya mfalme ni hatari kama shambulizi la simba kijana"
|
|
|
|
# lakini fadhila yake ni kama umande juu ya majani
|
|
|
|
"lakini fadhila yake inaburudisha kama umande juu ya majani" au "fadhila yake inaburudisha kama umande juu ya ardhi wakati wa asubuhi"
|