forked from WA-Catalog/sw_tn
558 B
558 B
Busara humfanya mtu awe mpole
" mtu mwenye busara ni si mwepesi wa hasira"
Busara
angalia 1:4
ni utukufu wake kusamehe
"itakuwa utukufu kwake kusamehe" au "wengine dhani kuwa ni heshima kama atasamehe"
kusamehe
kusahau jambo kwa lengo
ghadhabu ya mfalme ni kama ngurmo ya simba kijana
" ghadhabu ya mfalme ni hatari kama shambulizi la simba kijana"
lakini fadhila yake ni kama umande juu ya majani
"lakini fadhila yake inaburudisha kama umande juu ya majani" au "fadhila yake inaburudisha kama umande juu ya ardhi wakati wa asubuhi"