sw_tn/pro/19/01.md

454 B

bora mtu maskini

"ni bora kuwa mtu maskini"

ambaye hutembea katika uadilifu wake

"ambaye huishi katika uadiifu" au "ambaye huishi kwa uaminifu"

ni mpotofu katika kauli

"huongea kwa kupotosha" au "huongea kwa namna mbaya"

kuwa na hamasa bila maarifa

"kufanya kazi kwa bidii bila kujua unachokifanya"

ambaye hukimbia haraka sana hukosea njia

"ambaye hutenda kwa haraka hufanya makosa" au " ambaye hufanya haraka hufanya maamuzi dhaifu"