sw_tn/pro/18/21.md

306 B

mauti na uzima hutawaliwa kwa ulimi

"ulimi unaweza kuongoza kwenda kwenye uzima au mauti" au "maneno ya watu wanayonena yanaweza kuwaongoza kwenda kwenye uzima au mauti"

kwa ulimi... kupenda ulimi

"kwa maneno ambayo watu huongea ...kupenda kuongea"

watakula matunda yake

"atapokea madhara yake"