sw_tn/pro/18/09.md

481 B

mvivu katika kazi yake ni ndugu yake aliye mharibifu

" anafanana na"

mvivu

"mzembe"

aliye mharibifu zaidi

" mwenye kuharibu kila kitu" au "mwenye uharibifu daima"

jina la Yahwe ni mnara imara

"Yahwe hulinda kama mnara imara" au "Yahwe huwalinda watu wake kama mnara ambao ni imara"

jina la Yahwe

"Yahwe"

wenye haki

"wale ambao hutenda mema" au "watu waadilifu"

huikimbilia na kuwa salama

"hukimbilia kwake na wapo salama" au "wanamtafuta na wapo salama"