forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
481 B
Markdown
28 lines
481 B
Markdown
|
# mvivu katika kazi yake ni ndugu yake aliye mharibifu
|
||
|
|
||
|
" anafanana na"
|
||
|
|
||
|
# mvivu
|
||
|
|
||
|
"mzembe"
|
||
|
|
||
|
# aliye mharibifu zaidi
|
||
|
|
||
|
" mwenye kuharibu kila kitu" au "mwenye uharibifu daima"
|
||
|
|
||
|
# jina la Yahwe ni mnara imara
|
||
|
|
||
|
"Yahwe hulinda kama mnara imara" au "Yahwe huwalinda watu wake kama mnara ambao ni imara"
|
||
|
|
||
|
# jina la Yahwe
|
||
|
|
||
|
"Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# wenye haki
|
||
|
|
||
|
"wale ambao hutenda mema" au "watu waadilifu"
|
||
|
|
||
|
# huikimbilia na kuwa salama
|
||
|
|
||
|
"hukimbilia kwake na wapo salama" au "wanamtafuta na wapo salama"
|