forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
470 B
Markdown
28 lines
470 B
Markdown
# kinywa cha mpumbavu ...kwa midomo yake
|
|
|
|
"ambacho mpumbavu hunena... kwa kile asemacho"
|
|
|
|
# ni uharibifu wake
|
|
|
|
"ataangamizwa"
|
|
|
|
# hujitega mwenyewe
|
|
|
|
"atasababisha matatizo kwa ajili yake mwenye"
|
|
|
|
# maneno ya umbeya ni kama chembe mtamu
|
|
|
|
maneno ya udaku yanafurahisha kusikiliza"
|
|
|
|
# maneno ya umbeya
|
|
|
|
"maneno ambayo mtu mbeya huongea"
|
|
|
|
# chembe
|
|
|
|
"vipande vidogo vya chakula"
|
|
|
|
# huzama katika sehemu za ndani ya mwili
|
|
|
|
"huingia katika akili ya mtu na kuathiri mawazo yake"
|