sw_tn/pro/18/07.md

470 B

kinywa cha mpumbavu ...kwa midomo yake

"ambacho mpumbavu hunena... kwa kile asemacho"

ni uharibifu wake

"ataangamizwa"

hujitega mwenyewe

"atasababisha matatizo kwa ajili yake mwenye"

maneno ya umbeya ni kama chembe mtamu

maneno ya udaku yanafurahisha kusikiliza"

maneno ya umbeya

"maneno ambayo mtu mbeya huongea"

chembe

"vipande vidogo vya chakula"

huzama katika sehemu za ndani ya mwili

"huingia katika akili ya mtu na kuathiri mawazo yake"