forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
656 B
Markdown
24 lines
656 B
Markdown
# Dharau huja pamoja naye-sambamba na aibu na shutuma
|
|
|
|
"huonyesha dharau kwa watu wengine na husabbisha wajisikie aibu na kushutumiwa"
|
|
|
|
# aibu na shutuma
|
|
|
|
aibu ambayo ama huwakumba watu wengine au mtu mwovu"
|
|
|
|
# maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina;... chemchemi ya hekima ni mkondo utiririkao
|
|
|
|
"maneno yakinywa cha mwenye hekima ni maji yenye kina...chemchemi ya hekima mkondo utiririkao"
|
|
|
|
# maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina
|
|
|
|
"maneno ya kinywa cha mtu ni ya maana sana kama maji yenye kina"
|
|
|
|
# maneno ya kinywa
|
|
|
|
maneno ya mtu
|
|
|
|
# chemchemi ya hekima ni mkondo utiririkao
|
|
|
|
"chanzo cha hekima ni tele kama maji ya chemchemi ibubujikayo"
|