sw_tn/pro/17/27.md

254 B

hutumia maneno machache

"husema maneno machache"

hata mpumbavu hufikiriwa kuwa mwenye busara

"watu hudhani hata mpumbavu ni mwenye busara"

hufunga kinywa chake

"haongei"

hudhaniwa kuwa ni mwenye akili

"watu humdhania kuwa ni mwenye akili"