sw_tn/pro/17/03.md

496 B

Kalibuni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu

"karibuni hutumika kusafisha fedha na tanuru hutumika kusafisha dhahabu"

Yahwe husafisha mioyo

Yahwe huwajaribu watu ili kuwasaidia kuacha ubaya na upumbavu...hivyo Yahwe husafisha kuondoa kila kitu ambacho si safi. "Yahwe huijaribu mioyo ya watu"

mioyo

...mawazo na hamu za watu

midomo miovu

"mtu mwovu" au "maongezi mabaya"

hutega sikio

"husikiliza"

ulimi wa uharibifu

"mtu mharibifu" au "maongezi ya uharibifu"