forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
496 B
Markdown
24 lines
496 B
Markdown
|
# Kalibuni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu
|
||
|
|
||
|
"karibuni hutumika kusafisha fedha na tanuru hutumika kusafisha dhahabu"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe husafisha mioyo
|
||
|
|
||
|
Yahwe huwajaribu watu ili kuwasaidia kuacha ubaya na upumbavu...hivyo Yahwe husafisha kuondoa kila kitu ambacho si safi. "Yahwe huijaribu mioyo ya watu"
|
||
|
|
||
|
# mioyo
|
||
|
|
||
|
...mawazo na hamu za watu
|
||
|
|
||
|
# midomo miovu
|
||
|
|
||
|
"mtu mwovu" au "maongezi mabaya"
|
||
|
|
||
|
# hutega sikio
|
||
|
|
||
|
"husikiliza"
|
||
|
|
||
|
# ulimi wa uharibifu
|
||
|
|
||
|
"mtu mharibifu" au "maongezi ya uharibifu"
|