sw_tn/pro/16/27.md

312 B

mtu asiyefaa huchimba madhara

"mtu asiyefaa hutafuta madhara kana kwamba anachimba kitu chini ya ardhi"

asiyefaa

"mwovu"

madhara

"ubaya" au "taabu"

kauli yake ni kama moto unaounguza

"huumiza watu kwa maneno yake, kama moto unaounguza vitu"

mmbeya

mtu ambaye husema uzushi au husambaza uvumi