sw_tn/pro/16/25.md

344 B

kuna njia ambayo huonekana swa kwa mtu

"mtu hufikiria kwamba namna anavyoishi ni sawa"

lakini mwisho wake ni njia kuelekea kwenye mauti

ni njia kuelekea kwenye kifo

shauku ya mfanyakazi hufanyakazia kwa ajili yake

"mfanyakazi hushughulika kutimiza hamu yake"

njaa yake humhimiza

"huendelea kufanyakazi kwa sababu ya njaa yake"