sw_tn/pro/15/33.md

227 B

hofu ya Yahwe hufundisha hekima

"mtu anapokuwa na hofu ya Yahwe, hujifunza kuwa na busara"

hofu ya Yahwe

angalia 1:7

unyenyekevu huja kabla ya heshima

mtu lazima kwanza ajifunze unyenyekevu kabla Yahwe hajamheshimu.