forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
351 B
Markdown
12 lines
351 B
Markdown
# moyo wa mwenye haki hutafakari kabla ya kujibu
|
|
|
|
"mtu atendaye mema hutafakari cha kusema kabla ya kujibu"
|
|
|
|
# kinywa cha watu waovu humimina mabaya yake yote
|
|
|
|
"watu waovu wanasema mambo mabaya daima"
|
|
|
|
# kinywa cha watu waovu humimina mabaya yake yote
|
|
|
|
"moyo wa mtu mwovu humimina mabaya yake yote" au " vinywa vya watu waovu humwaga maovu yake yote"
|