sw_tn/pro/15/27.md

351 B

moyo wa mwenye haki hutafakari kabla ya kujibu

"mtu atendaye mema hutafakari cha kusema kabla ya kujibu"

kinywa cha watu waovu humimina mabaya yake yote

"watu waovu wanasema mambo mabaya daima"

kinywa cha watu waovu humimina mabaya yake yote

"moyo wa mtu mwovu humimina mabaya yake yote" au " vinywa vya watu waovu humwaga maovu yake yote"