forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
418 B
Markdown
20 lines
418 B
Markdown
# kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele ya Yahwe
|
|
|
|
"Yahwe anajua kila kitu kuhusu sehemu walipo wafu"
|
|
|
|
# Je ni zaidi mara ngapi kwa mioyo ya wana wa wanadamu?
|
|
|
|
hii ni nahau kumaanisha "mawazo ya wanadamu"
|
|
|
|
# mioyo ya wana wa wanadamu
|
|
|
|
"mawazo ya wanadamu"
|
|
|
|
# mwenye dharau huchukia sahihisho
|
|
|
|
"mwenye dharau huchukia wakati wa kurudiwa"
|
|
|
|
# hatakwenda kwa wenye busara
|
|
|
|
"hatakwenda kwa wenye busara kutafuta ushauri wao"
|