sw_tn/pro/15/11.md

418 B

kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele ya Yahwe

"Yahwe anajua kila kitu kuhusu sehemu walipo wafu"

Je ni zaidi mara ngapi kwa mioyo ya wana wa wanadamu?

hii ni nahau kumaanisha "mawazo ya wanadamu"

mioyo ya wana wa wanadamu

"mawazo ya wanadamu"

mwenye dharau huchukia sahihisho

"mwenye dharau huchukia wakati wa kurudiwa"

hatakwenda kwa wenye busara

"hatakwenda kwa wenye busara kutafuta ushauri wao"