sw_tn/pro/15/09.md

320 B

Yahwe huchukia njia ya watu waovu

"Yahwe huchukia namna ambavyo watu waovu huishi"

yule ambaye huandama haki

"mtu ambaye hujitahidi kuishi kwa haki"

yeyote ambaye huiacha njia

"yeyote ambaye huacha kuishi kwa haki"

yeye ambaye huchukia sahihisho

"mtu ambaye huchukia wakati watu wengine wanapomwelekeza"