forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
454 B
Markdown
20 lines
454 B
Markdown
# jibu la upole huodoa ghadhabu
|
|
|
|
"kumjibu mtu kwa upole kutatuliza ghadhabu ya huyo mtu"
|
|
|
|
# lakini neno la ukatili huchochea hasira
|
|
|
|
"lakini kuongea kwa ukali husababisha yule mtu kuwa na hasira zaidi"
|
|
|
|
# ulimi wa watu wenye busara hutamka maarifa
|
|
|
|
"watu werevu hutamka maarifa wanapoongea"
|
|
|
|
# hutamka maarifa
|
|
|
|
"huyafanya maarifa yavutie" au " hutumia maarifa kwa usahihi"
|
|
|
|
# kinywa cha wapumbavu humwaga upumbavu
|
|
|
|
"wapumbavu huongea upumbavu siku zote"
|