sw_tn/pro/15/01.md

454 B

jibu la upole huodoa ghadhabu

"kumjibu mtu kwa upole kutatuliza ghadhabu ya huyo mtu"

lakini neno la ukatili huchochea hasira

"lakini kuongea kwa ukali husababisha yule mtu kuwa na hasira zaidi"

ulimi wa watu wenye busara hutamka maarifa

"watu werevu hutamka maarifa wanapoongea"

hutamka maarifa

"huyafanya maarifa yavutie" au " hutumia maarifa kwa usahihi"

kinywa cha wapumbavu humwaga upumbavu

"wapumbavu huongea upumbavu siku zote"