sw_tn/pro/14/32.md

321 B

hushushwa chini kwa matendo yake mabaya

"matendo mabaya humsukuma" au " matendo mabaya huharibu"

Hekima hukaa katika moyo

"hekima ipo katika namna ya kufikiri na kutenda"

ufahamu

"mtu mwenye ufahamu"

hujidhihirisha yeye mwenyewe

" huhakikisha kuwa watu wanamjua"

yeye

neno "yeye" linawakilisha hekima