forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
371 B
Markdown
24 lines
371 B
Markdown
# moyo mtulivu
|
|
|
|
" mtazamo wa amani" au "mwenendo ambao ni wa amani"
|
|
|
|
# huozesha mifupa
|
|
|
|
"husababisha mtu kukosa afya mwilini na rohoni"
|
|
|
|
# yule ambaye... yule ambaye
|
|
|
|
"mtu ambaye ... mtu ambaye"
|
|
|
|
# laana
|
|
|
|
maana yake kutamani mambo mabaya yaweze kutokea kwa mtu.
|
|
|
|
# maskini ...mhitaji
|
|
|
|
"mtu maskini...mtu mhitaji"
|
|
|
|
# huonesha fadhila kwa
|
|
|
|
"ni mkarimu kwa" au " husaidia"
|