sw_tn/pro/14/30.md

371 B

moyo mtulivu

" mtazamo wa amani" au "mwenendo ambao ni wa amani"

huozesha mifupa

"husababisha mtu kukosa afya mwilini na rohoni"

yule ambaye... yule ambaye

"mtu ambaye ... mtu ambaye"

laana

maana yake kutamani mambo mabaya yaweze kutokea kwa mtu.

maskini ...mhitaji

"mtu maskini...mtu mhitaji"

huonesha fadhila kwa

"ni mkarimu kwa" au " husaidia"