sw_tn/pro/14/09.md

338 B

wakati dhabihu ya hatia inapotolewa

...wapumbavu hawaombi msamaha kwa Mungu au watu kwa ajili ya mambo mabaya wanayofanya.

lakini miongoni waadilifu hushiriki fadhila

"lakini waadilifu hufurahia wema pamoja" au "Wema wa Mungu huonekana miongoni mwa waadilifu"

uchungu

"huzuni" au "simanzi"

hakuna mgeni

"wale wasiomfahamu"