forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
403 B
Markdown
16 lines
403 B
Markdown
# msiba huwakimbilia watenda dhambi
|
|
|
|
"mwenye dhambi hupata taabu popote wanapokwenda"
|
|
|
|
# watu wenye haki hupewa thawabu ya mema
|
|
|
|
"Mungu huwapa thawabu watu wenye haki kwa mema"
|
|
|
|
# wajukuu wake
|
|
|
|
"wana wa wana wake"au "watoto wa watoto wake" au "wazao wake"
|
|
|
|
# utajiri wa mwenye dhambi umehifadhiwa kwa ajili ya mtu mwenye haki
|
|
|
|
" yeye atendaye haki atapokea utajiri ambao umahifadhiwa na mwenye dhambi"
|